Tuesday 24 May 2011

Ukweli na Uwazi ni Bidhaa Adimu Afrika

Ukweli na Uwazi ni bidhaa adimu mno kwenye nchi za Afrika..Ukweli na Uwazi ni adimu katika serikali, na adimu kwa wanasiasa, hata katika familia nyingi za kiafrika ni adimu kupindukia..

Ukweli na Uwazi ni adimu hata kati ya Mke na Mume, kati ya Watoto na wazazi wao, kati ya Marafiki, Kati ya ndugu. Ukweli na Uwazi ni bidhaa adimu lakini inauzwa kwa bei rahisi ajabu...
BEI YAKE NI BUREEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE

No comments: